MATOKEO YA FATIMA




(a)  Bikira Maria  alitokea Fatima  kwa mara ya kwanza 13/5/1917  na aliendelea kutokea mara sita mfululizo hadi 13/10/1917 alipotokea kwa mara ya mwisho.
TOKEO LA I –Mei 13 1917
Ujumbe-
·        Kujitoa kwa ajili ya Mungu
·        Kupokea mateso kwa ajili ya malipizi ya dhambi nyingi za kumkosea Mungu na utukufu wake.
·        Kuomba kwa ajili ya wongofu wa wakosefu
Ref. Book –FATIMA; A MESSAGE MORE URGENT THAN EVER” pg. 31-36

TOKEO  LA  II –Juni 13 1917
Ujumbe-
·        “Yesu anataka kuanzisha ibada kwa Moyo wangu safi, ninaahidi ya kwamba watu watakaoifuata wataongoka. Roho zile zitampendeza Mungu sana kama maua ninayopeleka kwa kiti chake cha enzi Msikate tamaa sitawaacha ninyi. Moyo wangu safi utakuwa tegemeo lenu  katika maisha yenu ya mbele na njia itakayowaongoza ninyi kwa Mungu.
Ref. Book –FATIMA; A MESSAGE MORE URGENT THAN EVER” pg  39-43
TOKEO  LA III -Julai 13 1917
Ujumbe-
·        Kufanya majitoleo kwa ajili ya wakosefu
·        Aliwaonyesha watoto motoni ambako wakosefu huenda
·        Adhabu ya dunia inakaribia kwa sababu ya dhambi nyingi, vita, njaa na madhulumu ya kanisa.
·        Kwa ajili ya kuzuia hayo nitaomba kuukabidhi  Moyo wangu safi nchi zile zote zinazomkana  Mungu.
·        Kumunyo Takatifu ipokelewe kwa malipizi ya dhambi kila Jumamaosi ya kwanza ya Mwezi.
·        Mnaposali Rozari semeni  mwishoni mwa kila fumbo
“Ee Yesu Mwema utusamehe dhambi zetu utukinge na moto wa milele uongoze Roho zote…………”
Ref. Book –FATIMA; A MESSAGE MORE URGENT THAN EVER” pg . 47-50

TOKEO  LA IV….(Agosti  19,1917)  
Ujumbe
“Salini Salini mkatolee sadaka nyingi kwa ajili ya wakosefu kwa sababu wengi wanakwenda motoni kwa kuwa hayuko mtu anayewaombea wala kujitolea sadaka kwa ajili yao”
Ref. Book –FATIMA; A MESSAGE MORE URGENT THAN EVER” pg. 65-68
TOKEO LA V –Septemba 13 1917
Ujumbe-
“Endeleeni kusali Rozari ili vita iishe .  Nitarudi mwezi Oktoba pamoja na Josefu Mtakatifu na Mtoto Yesu”
Mwezi ujao Oktoba nitafanya muujiza ili wote wasadiki
Ref. Book –FATIMA; A MESSAGE MORE URGENT THAN EVER” pg.. 69-71
TOKEO LA VI –Oktoba 13 1917
Ujumbe-
“Mimi ni Malkia wa Rozari na kwamba kikanisa  kijengwa kwa heshima yangu mahali hapa”
“Watu waendelee kusali Rozari kila siku, vita vitaisha na wanajeshi watarejea nyumbani “ 
“Watu watubu na kuomba masamaha ya dhambi zao”
“Watu wasimkosee Mungu tena kwa maana walikosea mara nyingi mno mpaka sasa’’
Rejea  Kijitabu   “ Mama yetu atuomba” uk.21
Ref. Book –“FATIMA; A MESSAGE MORE URGENT THAN EVER” pg..80- 84
3.KWA NINI TUNASALI ROZARI.
(A)                       Sababu Nzuri chache
(i)                Kupata amani duniani
(ii)             Kulinda amani katika familia
(iii)           Kuwa na ujasiri katika  changamoto za Maisha
(iv)           Njia iliyo tayari na rahisi ya kulinda Imani.
(v)             Kutia Moyo wakati wa maisha ya shida
(vi)               Kupata ulinzi wa mwisho
Rejea Katiba ya shirika la Rozari  uk 92-95

(B)                        AHADI ZA ROZARI
Rejea Katiba ya shirika la Rozari   uk.  50-53
        —“Rozari sala yangu’’    uk  38-40

(C)                       KUPATA REHEMA
Rehema ni ondoleo au punguzo la adhabu za muda kwa sababu ya dhambi
Rejea-  Katiba ya shirika la Rozari  uk.  44

Rehema kamili kwa kusali Rozari Takatifu
Rejea Katiba ya shirika la rozari    uk 45

-Tunaweza kupata Rehema Pungufu kwa kusali Rozari bila tafakari au bila kutimiza masharti.

Rehema za shirika la Rozari
rejea katiba ya shirika la Rozari Takatifu  uk. 46-49

Usipuuze Rehema(hadithi)
Rejea- Siri ya Rozari  uk. 212

-Unaposali  Rozari weka nia yako pia omba rehema

-Rozari ni kipimo cha Ukristu -ufuasi wa Kristu.
“Kama utasali Rozari kiaminifu mpaka kufa, ninakuthibitishiya  kuwa  pamoja na ukubwa wa dhambi zako nyingi mtapokea taji la utukufu lisilofifia”
Rejea  Siri ya Rozari  uk.  16
Kila mara tunaposali Litania za Bikira. Maria na kuzitafakari, tunapata Rehema za siku 300. ( Papa Pius  VII,  30/9/1817 ).  Rejea-- ‘ Rozari Sala yangu’’ uk. 40-44.

Comments

Popular posts from this blog

ROZARI TAKATIFU NA ROZARI HAI

ROZARI TAKATIFU